Kinda wa miaka 16, Anssumane Fati 'Ansu Fati' akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao dakika ya pili katika ushindi wa 5-2 dhidi ya Valencia kwenye mchezo La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou, hilo likiwa ba lake la pili tangu apandishwe. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Frenkie de Jong dakika ya saba, Gerard Piqué dakika ya 51 na Luis Suarez mawili, dakika ya 61 na 82, wakati ya Valencia yamefungwa na Kevin Gameiro dakika ya 27 na Maximiliano Gómez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The NEW hardest puncher in the world! Ex-World's Strongest Man winner Eddie
Hall breaks UFC star Alex Pereira's record on power-measuring machine
-
Former World's Strongest Man Eddie Hall has smashed the record for the
hardest punch ever, just two weeks after UFC star Alex Pereira set the last
benchmark.
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment