Wachezaji wa Yanga wakiwa mazoezini mjini Ndola jana asubuhi kuelekea mchezo wa marudiano hatua ya mwisho ya mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya wenyeji, Zesco United leo jioni Uwanja wa Levy Mwanawasa. Yanga inatakiwa kushinda ugenini leo baada ya sare ya 1-1 nyumbani wiki mbili zilizopita
ATBU Governing Council appoints Acting Registrar
-
From Paul Orude, Bauchi The Governing Council of Abubakar Tafawa Balewa
University Bauchi has appointed Hajiya Aisha Idris as Acting Registrar of
the Uni...
Dakika 20 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni