Sadio Mane (kulia) akishangilia na mchezaji mwenzake, beki Virgil van Dijk baada ya kuiufngia timu yake bao la kusawazisha dakika ya 28 kufuatia Jetro Willems kutangulia kuifungia Newcastle United dakika ya saba katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Liverpool imeshinda 3-1, mabao yake mengine yakifungwa na Mane pia dakika ya 40 na Mohamed Salah dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie Carragher names the points tally it will take to win the Premier
League - as he claims Arsenal will be title FAVOURITES if they beat Man City
-
Carragher believes all three sides can't afford to drop many points in
their remaining 10 matches of the season, claiming they will have to reach
a certain...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment