MAKOCHA wa timu ya taifa, Joel Bendera na Ray Gama wakimkabidhi Kombe la CCM Nahodha wa Pan Africans, Mohammed ‘Adolph’ Rishard Februari 5, mwaka 1977 baada ya kuwafunga Coastal Union ya Tanga 3-0 kwenye fainali Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma. Katikati anayetazama kamera ni mshambuliaji Kassim Manara ambaye siku hiyo alifunga mabao mawili
Brazil great Marta to retire from international duty
-
Brazil's all-time record goalscorer Marta says she will retire from
international football later this year.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment