Kiungo James Maddison akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Leicester City dakika ya 85 ikiilaza 2-1 Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power. Bao la kwanza la Leicester limefungwa na Ricardo Pereira dakika ya 69, likiwa la kusawazisha baada ya Harry Kane kuanza kuifungia Spurs dakika ya 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nic Claxton Contract a 'Priority' in 2024 NBA Free Agency, Nets HC
Fernández Says
-
Newly installed Brooklyn Nets head coach Jordi Fernández made it abundantly
clear he considers fifth-year center Nic Claxton to be a big part of the…
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment