Kiungo James Maddison akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Leicester City dakika ya 85 ikiilaza 2-1 Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power. Bao la kwanza la Leicester limefungwa na Ricardo Pereira dakika ya 69, likiwa la kusawazisha baada ya Harry Kane kuanza kuifungia Spurs dakika ya 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal 'to step up their pursuit of Raphinha' after falling short of Leeds' £65m asking price
-
Raphinha contributed 11 goals and three assists as Leeds narrowly avoided
relegation from the Premier League last season. He has two years left on
his cont...
Dakika 19 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni