Mshambuliaji Mbrazil, Gabriel Martinelli (kushoto) akishangilia na Calum Chambers baada ya kuifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya 31 kabla ya kufunga na la tano dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Nottingham Forest usiku wa jana Uwanja wa Emirates mjini London kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu Kombe la Ligi England 'Carabao Cup'. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Rob Holding dakika ya 71, Joe Willock dakika ya 77 na Reiss Nelson dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anthony Joshua fights back tears as he dedicates dramatic victory over
Kristian Prenga to two best friends killed in car crash as he recovers from
TWO knockdowns to win on return
-
CHARLOTTE DALY IN JEDDAH: Joshua, twice dropped by Prenga in the first
round before knocking him out in the second, admitted it had been 'tough'.
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment