Mshambuliaji Mbrazil, Gabriel Martinelli (kushoto) akishangilia na Calum Chambers baada ya kuifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya 31 kabla ya kufunga na la tano dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Nottingham Forest usiku wa jana Uwanja wa Emirates mjini London kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu Kombe la Ligi England 'Carabao Cup'. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Rob Holding dakika ya 71, Joe Willock dakika ya 77 na Reiss Nelson dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dave Portnoy reveals HUGE $150,000 bet on the Stanley Cup winner... which
would give Barstool boss $1MILLION profit as he aims to continue hot streak
-
Portnoy has the Edmonton Oilers winning the Cup at +700 odds on DraftKings
SportsBook. A win for the Oilers will extend Portnoy's hot streak in sports
bett...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment