• HABARI MPYA

    Wednesday, September 11, 2019

    RONALDO APIGA NNE URENO YAIFUMUA LITHUANIA 5-1 KUFUZU EURO 2020

    Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Ureno mabao manne dakika za saba kwa penalti, 61, 65 na 76 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya wenyeji, Lithuania kwenye mchezo wa Kundi B kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Vilniaus LFF mjini Vilnius. Bao lingine la Ureno lilifungwa na William Carvalho dakika ya 90 na ushei, wakati la Lithuania limefungwa na Vytautas Andriuskevicius dakika ya 28 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO APIGA NNE URENO YAIFUMUA LITHUANIA 5-1 KUFUZU EURO 2020 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top