Kinda wa Chelsea, Tammy Abraham akifurahia baada ya kuifungia Chelsea mabao matatu dakika za 34, 41 na 55 katika ushindi wa 5-2 dhidi ya wenyeji, Wolverhampton Wanderers leo Uwanja wa Molineux. Mabao mengine ya The Blues yamefungwa na Fikayo Tomori dakika ya 31 na Mason Mount dakika ya 90 na ushei, wakati ya Wolves moja Abraham alijifunga dakika ya 69 na lingine alifunga Patrick Cutrone dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dead on arrival: 301 bills gather dust in Aso Rock
-
The scorecard of the 10th National Assembly, recently presented by Speaker
Tajudeen Abbas, lays bare the stark reality of how laws are made and how
they ...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment