Marcel Halstenberg akipongezwa na Toni Kroos baada ya kuifungia Ujerumani bao la kwanza dakika ya 48 kabla ya Serge Gnabry kufunga la pili dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Ireland ya Kaskazini kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Windsor Park mjini Belfast PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pressure mounts on Bodejo to drop out of Senate race
-
Pressure mounts on Abdullahi Bello Bodejo to quit the Taraba Central
senatorial race after his arrest, detention and alleged pressure to
withdraw.
The p...
12 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment