Marcel Halstenberg akipongezwa na Toni Kroos baada ya kuifungia Ujerumani bao la kwanza dakika ya 48 kabla ya Serge Gnabry kufunga la pili dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Ireland ya Kaskazini kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Windsor Park mjini Belfast PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Watch: Lille midfielder Ethan Mbappe shown red card for ugly elbow
-
Ethan Mbappé was shown a red card in Lille's Champions League match against
Real Betis on Tuesday.
1 week ago



.png)
0 comments:
Post a Comment