MAZOEZI YA MWISHO AZAM FC KABLA YA KUWAVAA TRIANGLE UNITED LEO BULAWAYO
Mshambuliaji Mzambia wa Azam FC, Obrey Chirwa akijifua Uwanja wa Barbourfields mjini Bulawayo jana kuelekea mchezo wa marudiano wa Raundi ya Pili ya kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji, Triangle United. Azam FC inatakiwa kushindia kuanzia 2-0 ili isonge mbele, baada ya kufungwa 1-0 Azam Complex Septemba 15.
Mshambuliaji Richard Ella D'jodi kutoka Ivory Coast akijifua Uwanja wa Barbourfields mjini Bulawayo jana
Kiungo Salum Abubakar 'Sure Boy' mazoezini jana Uwanja wa Barbourfields mjini Bulawayo
Beki Mghana, Yakubu Mohamed akipiga shuti katika mazoezi ya penalti jana Bulawayo
Beki Mganda, Nicolas Wadada mazoezini jana mjini Bulawayo tayari kwa mchezo dhidi ya Triangle leo
Mshambuliaji Shaaban Iddi 'Chilunda' akipiga penalti mazoezini jana
Beki Mzimbabwe, Bruce Kangwa akiwa mazozini jana mjini Bulawayo
Mshambuliaji Iddi Suleiman 'Nado' akijifua jana Uwanja wa Barbourfields mjini Bulawayo
Kipa Mghana, Razack Abalora akiokoa penalti jana Uwanja wa Barbourfields mjini Bulawayo
Winga Iddi Kipagwile akijifua jana Uwanja wa Barbourfields mjini Bulawayo
Trilioni 3.867 Kuimarisha Ujenzi, Uchukuzi
-
Na Ahmed Sagaff Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeidhinisha
bajeti ya shilingi trilioni 3.867 ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kwa Mwaka
wa Fedha...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni