Nyota wa Bayern Munich, Kingsley Coman akishangilia baada ya kuifungia Ufaransa bao la kwanza dakika ya 18 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Andorra kwenye mchezo wa Kundi H kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Mabao mengine ya Ufaransa yalifungwa na Clement Lenglet dakika ya 52 na Wissam Ben Yedder dakika ya 90 na ushei, wakati Antoine Griezmann alikosa penalti dakika ya 28 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
76ers' Nick Nurse Talks Close Games in Knicks Series: 'I've Decided Nothing
Matters'
-
Philadelphia 76ers head coach Nick Nurse joked with reporters about the
team's close first-round playoff series against the New York Knicks on
Thursday. "I…
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment