Mshambuliaji wa KRC Genk, Mbwana Ally Samatta 'Kapteni Diego' (kulia) akiwa na Mtanzania mwenzake, chipukizi Kelvin John 'Mbappe' mjini Genk ambaye ameitwa na klabu hiyo nchini Ubelgiji kwa ajili ya kusaini mkataba baada ya kuonyesha kiwango kizuri kwenye Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 (AFCON U17) mjini Dar es Salaam Aprili mwaka huu
Cristiano Ronaldo soaks up the sun in Mallorca amid reports claiming he 'wants to QUIT Old Trafford'
-
The Portuguese legend's partner Georgina Rodriguez shared several photos of
the family on their holiday to the Spanish island with her Instagram
followers ...
Dakika 17 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni