Riyad Mahrez akishanglia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 71 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Everton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Goodison Park. Mabao mengine ya mabingwa hao watetezi yamefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 24 na Raheem Sterling dakika ya 84, wakati la Everton limefungwa na Dominic Calvert-Lewin dakika ya 33. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Everton 'need to raise transfer funds in the next five days'
-
Despite avoiding relegation last season, Everton's financial situation is
said to remain precarious and the club might have to raise capital through
player...
Dakika 29 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni