Riyad Mahrez akishanglia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 71 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Everton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Goodison Park. Mabao mengine ya mabingwa hao watetezi yamefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 24 na Raheem Sterling dakika ya 84, wakati la Everton limefungwa na Dominic Calvert-Lewin dakika ya 33. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City host Liverpool, Port Vale face Chelsea - full FA Cup draw
-
League One Port Vale's reward for beating Sunderland in the FA Cup is a
quarter-final tie away to Chelsea, while Manchester City will host
Liverpool in a h...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment