Vinicius Junior akibubujikwa machozi kwa furaha baada ya kuifungia bao la kwanza Real Madrid dakika ya 36, hilo bao la kwanza kwa ujumla katika timu hiyo tangu Februari katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Osasuna usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Bao la pili la Real Madrid lilifungwa na Rodrygo Goes dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🏆 Champions League returns: all you need to know about the last 16
-
The UEFA Champions League enters its most exciting phase. After a draw that
resulted in matchups worthy of an early final, the 16 best teams on the
contine...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment