Vinicius Junior akibubujikwa machozi kwa furaha baada ya kuifungia bao la kwanza Real Madrid dakika ya 36, hilo bao la kwanza kwa ujumla katika timu hiyo tangu Februari katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Osasuna usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Bao la pili la Real Madrid lilifungwa na Rodrygo Goes dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
JUST IN: Arsenal midfielder Mohamed Elneny signs new contract
-
Arsenal have announced that midfielder Mohamed Elneny has signed a new
contract with the north London side. Elneny has been a key member of the
Arsenal sq...
Dakika 46 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni