Lionel Messi akiwa haaimini macho yake baada ya kipigo cha 2-0 kutoka kwa wenyeji, Granada kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Nuevo Los Carmenes, mabao ya Ramon Azeez dakika ya pili na Alvaro Vadillo kwa penalti dakika ya 66. Messi aliingia akitokea benchi kuchukua nafasi ya Carles Perez kipindi cha pili baada ya kuw anje kwa muda mrefu kutokana na maumivu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Everton 'need to raise transfer funds in the next five days'
-
Despite avoiding relegation last season, Everton's financial situation is
said to remain precarious and the club might have to raise capital through
player...
Dakika 25 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni