KINDA wa miaka 17, Mason Greenwood akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao pekee dakika ya 73 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Astana kwenye mchezo wa Kundi L UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford hilo likiwa bao lake la kwanza kabisa timu ya wakubwa kufuatia kupandishwa kutoka akasemi ya klabu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal set to make improved Raphinha bid
-
Arsenal are expected to make an improved bid for Leeds
United forward Raphinha. Arsenal's opening bid for Raphinha was rejected as
it fell below Leeds' val...
Dakika 19 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni