Rhian Brewster akimrukia mgongoni mchezaji mwenzake, Ki-Jana Hoever kumpongeza baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 69 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Milton Keynes Dons kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu ya Kombe la Ligi England usiku wa jana Uwanja wa MK mjini Buckinghamshire. Bao la kwanza la Liverpool lilifungwa na James Milner dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Defensive signings are a MUST after Joe Gomez injury, young star who took
his chance and forgotten man Federico Chiesa gives Andoni Iraola food for
thought: THINGS WE LEARNED as Liverpool beat Sunderland
-
LEWIS STEELE IN NASHVILLE: The Andoni Iraola era got off to a flying start
with a 4-2 thumping of Sunderland.
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment