Kevin De Bruyne akishangilia baada ya kuifungia Ubelgiji bao la nne dakika ya 82 akimalizia pasi ya Romelu Lukaku katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Scotland kwenye mchezo wa Kundi I kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Hampden Park mjini Glasgow. Mabao mengine ya Ubelgiji yalifungwa na Lukaku dakika ya tisa, Thomas Vermaelen dakika ya 24, wote wakimalizia pasi za De Bruyne na Toby Alderweireld dakika 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Defensive signings are a MUST after Joe Gomez injury, young star who took
his chance and forgotten man Federico Chiesa gives Andoni Iraola food for
thought: THINGS WE LEARNED as Liverpool beat Sunderland
-
LEWIS STEELE IN NASHVILLE: The Andoni Iraola era got off to a flying start
with a 4-2 thumping of Sunderland.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment