Neymar akishangilia baada ya kuifungia Brazil bao la kusawazisha dakika ya 58 katika sare ya 2-2 na Colombia kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Hard Rock mjini Miami, Marekani. Bao la kwanza la Brazil lilifungwa na Casemiro dakika ya 19, wakati ya Colombia yote yalifungwa na L. Muriel dakika ya 25 kwa penalti na 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Argentina like to leave mark on opponents - Laporte
-
Spain defender Aymeric Laporte claims World Cup final opponents Argentina
are a team that "likes to leave a mark on their opponents".
5 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment