Neymar akishangilia baada ya kuifungia Brazil bao la kusawazisha dakika ya 58 katika sare ya 2-2 na Colombia kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Hard Rock mjini Miami, Marekani. Bao la kwanza la Brazil lilifungwa na Casemiro dakika ya 19, wakati ya Colombia yote yalifungwa na L. Muriel dakika ya 25 kwa penalti na 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea ready to demand major fee for Pedro Neto amid Liverpool and Man
City interest - as former boss Enzo Maresca eyes reunion
-
KIERAN GILL: The Premier League club are not actively touting their
Portuguese 26-year-old for sale, but Blues insiders are aware of the asking
prices bein...
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment