Neymar akishangilia baada ya kuifungia Brazil bao la kusawazisha dakika ya 58 katika sare ya 2-2 na Colombia kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Hard Rock mjini Miami, Marekani. Bao la kwanza la Brazil lilifungwa na Casemiro dakika ya 19, wakati ya Colombia yote yalifungwa na L. Muriel dakika ya 25 kwa penalti na 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tributes pour in after NFL hopeful AJ Simon tragically dies aged 25... as
fellow draft prospect Jared Verse reveals he spoke to late former teammate
shortly before passing: 'Rest easy big man!'
-
More tributes honoring late NFL Draft prospect Amitral 'AJ' Simon have
poured out on social media on Thursday.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment