Neymar akishangilia baada ya kuifungia Brazil bao la kusawazisha dakika ya 58 katika sare ya 2-2 na Colombia kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Hard Rock mjini Miami, Marekani. Bao la kwanza la Brazil lilifungwa na Casemiro dakika ya 19, wakati ya Colombia yote yalifungwa na L. Muriel dakika ya 25 kwa penalti na 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Spurs hit self-destruct button again as season agony prolonged
-
Spurs hit the self-destruct button once more to leave Roberto De Zerbi
frustrated as fight to avoid relegation looks set to go to the wire, says
chief foot...
7 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment