• HABARI MPYA

    Sunday, September 08, 2019

    KANE APIGA HAT TRICK ENGLAND IKIIBUKA NA USHINDI WA 4-0

    Nahodha, Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia England hat-trick kwa mabao yake ya dakika za 24, 49 na 73 kwa penalti ikiichapa Bulgaria 4-0 katika mchezo wa Kundi A kufuzu Euro 2020. Bao lingine la Simba Watatu lilifungwa na Raheem Sterling dakika ya 55, tena kwa pasi ya Kane na kwa ushindi huo, England inapaa kileleni 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KANE APIGA HAT TRICK ENGLAND IKIIBUKA NA USHINDI WA 4-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top