Nahodha, Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia England hat-trick kwa mabao yake ya dakika za 24, 49 na 73 kwa penalti ikiichapa Bulgaria 4-0 katika mchezo wa Kundi A kufuzu Euro 2020. Bao lingine la Simba Watatu lilifungwa na Raheem Sterling dakika ya 55, tena kwa pasi ya Kane na kwa ushindi huo, England inapaa kileleni PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Obasanjo visits Abia July 29 for Gen Aguiyi-Ironsi’s 60th memorial
-
Former President Olusegun Obasanjo will on Wednesday, July 29, visit Abia
State for the 60th memorial celebration of the first military head of state
of ...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment