Mshambuliaji Rodrigo akishangilia baada ya kuifungia Hispania mabao mawili dakika ya 13 na 50 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Faroe Islands kwenye mchezo wa Kundi F kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Manispaa ya El Molinon mjini Gijon. Mabao mengine yalifungwa na Paco Alcacer mawili pia dakika ya 89 na 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Auckland FC vs Tottenham - pre-season friendly LIVE: Roberto De Zerbi names
youthful side for first preseason game Down Under
-
Follow Daily Mail's live coverage for the latest updates of Tottenham
Hotspur's pre-season match with Auckland FC in New Zealand.
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment