Mshambuliaji Rodrigo akishangilia baada ya kuifungia Hispania mabao mawili dakika ya 13 na 50 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Faroe Islands kwenye mchezo wa Kundi F kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Manispaa ya El Molinon mjini Gijon. Mabao mengine yalifungwa na Paco Alcacer mawili pia dakika ya 89 na 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Formula One team announce star will leave at the end of the season... with
18-year-old British sensation Oliver Bearman in pole position to replace him
-
A door opened and a seat became available on Friday for British teenager
Ollie Bearman to secure a place on the Formula One grid next season.
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment