Mshambuliaji Rodrigo akishangilia baada ya kuifungia Hispania mabao mawili dakika ya 13 na 50 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Faroe Islands kwenye mchezo wa Kundi F kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Manispaa ya El Molinon mjini Gijon. Mabao mengine yalifungwa na Paco Alcacer mawili pia dakika ya 89 na 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pressure mounts on Bodejo to drop out of Senate race
-
Pressure mounts on Abdullahi Bello Bodejo to quit the Taraba Central
senatorial race after his arrest, detention and alleged pressure to
withdraw.
The p...
19 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment