Refa Ivan Kruzliak akimuonyesha kadi nyekundu beki Mgiriki wa Arsenal, Sokratis Papastathopoulos dakika ya 41 kufuatia kumuonyesha kadi ya pili ya njano baada ya kumchezea rafu Ismaila Sarr wa Rennes katika mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Roazhon Park mjini Rennes, Ufaransa. Renees ilishinda 3-1, mabao yake yakifungwa na Benjamin Bourigeaud dakika ya 42, Nacho Monreal aliyejifunga dakika ya 65 na Sarr dakika ya 88, wakati la Arsenal inayotakiwa kushinda 2-0 kwenye mchezo wa marudiano Machi 14 London, lilifungwa na Alex Iwobi dakika ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
American TV giant NBC wants two opening day Premier League games played in
the US as price of mammoth £2bn TV deal - sparking backlash among fans
after 39th game debacle 17 years ago
-
The concept of holding Premier League games across the Atlantic has
re-emerged in recent weeks, with Richard Masters admitting that the 'door
looks ajar' f...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment