Refa Ivan Kruzliak akimuonyesha kadi nyekundu beki Mgiriki wa Arsenal, Sokratis Papastathopoulos dakika ya 41 kufuatia kumuonyesha kadi ya pili ya njano baada ya kumchezea rafu Ismaila Sarr wa Rennes katika mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Roazhon Park mjini Rennes, Ufaransa. Renees ilishinda 3-1, mabao yake yakifungwa na Benjamin Bourigeaud dakika ya 42, Nacho Monreal aliyejifunga dakika ya 65 na Sarr dakika ya 88, wakati la Arsenal inayotakiwa kushinda 2-0 kwenye mchezo wa marudiano Machi 14 London, lilifungwa na Alex Iwobi dakika ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United outcast Andre Onana signs deal to leave the club - on loan - as
he closes in on rejoining Trabzonspor for the season
-
EXCLUSIVE BY CHRIS WHEELER: Daily Mail Sport can reveal that Onana has
signed the paperwork on the contract, leaving United and Trabzon to
complete the fin...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment