Willian akishangilia mbele ya mashabiki baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 65 ikiilaza 3-0 Dynamo Kiev katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Pedro dakika ya 17 na Callum Hudson-Odoi dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brisbane Lions star Lachie Neale slams COWARDLY fans after copping abuse on
social media following shock AFL loss to Collingwood on Thursday
-
Brisbane Lions co-captain Lachie Neale has delivered a blistering rebuke to
online trolls after a wave of abuse followed the team's shock 52-point loss
to ...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment