Willian akishangilia mbele ya mashabiki baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 65 ikiilaza 3-0 Dynamo Kiev katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Pedro dakika ya 17 na Callum Hudson-Odoi dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bayer Leverkusen vs Arsenal - Champions League LIVE: Latest score and
updates as Gunners star returns for Mikel Arteta's men
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Bayer Leverkusen welcome Arsenal to the BayArena, with Isaan
Khan report...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment