Willian akishangilia mbele ya mashabiki baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 65 ikiilaza 3-0 Dynamo Kiev katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Pedro dakika ya 17 na Callum Hudson-Odoi dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NHL history-maker Alex Ovechkin set to return for a remarkable 22nd season
at the age of 40 as he signs new one-year deal
-
After staying non-committal on his future in hockey throughout last season,
Alex Ovechkin has signed a one-year deal to return to the Washington
Capitals f...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment