Alex Telles akishangilia baada ya kuifungia Porto bao la ushindi dakika ya 117 ikiilaza 3-1 AS Roma usiku wa jana katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Do Dragao mjini Porto. Mabao mengine ya Porto yalifungwa na Francisco Soares 'Tiquinho' dakika ya 26 na Moussa Marega dakika ya 52, wakati la Roma lilifungwa na Daniele De Rossi kwa penalti dakika ya 37. Kwa matokeo hayo, Porto inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-3 kufuatia kufungwa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza mwezi uliopita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Burnley fan is spotted making sick gestures mocking the Munich air disaster
during draw with Man United at Old Trafford... as club vow to help police
'identify and prosecute' supporters over tragedy chanting
-
Footage was posted on social media following Burnley's 1-1 draw against Man
United on Saturday, with one supporter seen making aeroplane gestures with
his ...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment