Alex Telles akishangilia baada ya kuifungia Porto bao la ushindi dakika ya 117 ikiilaza 3-1 AS Roma usiku wa jana katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Do Dragao mjini Porto. Mabao mengine ya Porto yalifungwa na Francisco Soares 'Tiquinho' dakika ya 26 na Moussa Marega dakika ya 52, wakati la Roma lilifungwa na Daniele De Rossi kwa penalti dakika ya 37. Kwa matokeo hayo, Porto inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-3 kufuatia kufungwa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza mwezi uliopita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal make decision over Ethan Nwaneri's future amid interest from Fulham
and Everton - after star was left out of Community Shield squad
-
SIMON JONES: Premier League clubs such as Fulham and Everton have checked
on the 19-year-old earlier in the summer while RB Leipzig are among a raft
of Eur...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment