Alex Telles akishangilia baada ya kuifungia Porto bao la ushindi dakika ya 117 ikiilaza 3-1 AS Roma usiku wa jana katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Do Dragao mjini Porto. Mabao mengine ya Porto yalifungwa na Francisco Soares 'Tiquinho' dakika ya 26 na Moussa Marega dakika ya 52, wakati la Roma lilifungwa na Daniele De Rossi kwa penalti dakika ya 37. Kwa matokeo hayo, Porto inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-3 kufuatia kufungwa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza mwezi uliopita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City hijack Arsenal's move for Jeremy Monga as they step up their bid
to land Leicester's teen star with Gunners falling short of £10m price tag
-
SIMON JONES: The 16-year-old Leicester City winger had been set on a move
to Arsenal and looked destined to sign.
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment