Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, makipa Aishi Manula wa klabu ya Simba (kushoto) na Ramadhan Kabwili (kulia) na mshambuliaji Ibrahim Hajib (katikati) wote wa klabu ya Yanga wakifurahia kwenye bwawa la kuogelea katika hoteli ya Sea Scape, Kunduchi mjini Dar es Salaam ambako Taifa Stars imeweka kambi kujiandaa naa mchezo wa kirafiki dhidi nya Malawi Jumamosi wiki hii Uwanja wa Uhuru, Jijini.
Shaffy Bello to women: You are worth more than ‘runs’
-
Veteran Nollywood actress has delivered a strong message to young women,
urging them not to define their worth through transactional relationships,
socia...
5 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment