• HABARI MPYA

    Tuesday, October 03, 2017

    WACHEZAJI WA TAIFA STARS WAKICHEZA KWA FURAHA 'BWAWANI'

    Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, makipa Aishi Manula wa klabu ya Simba (kushoto) na Ramadhan Kabwili (kulia) na mshambuliaji Ibrahim Hajib (katikati) wote wa klabu ya Yanga wakifurahia kwenye bwawa la kuogelea katika hoteli ya Sea Scape, Kunduchi mjini Dar es Salaam ambako Taifa Stars imeweka kambi kujiandaa naa mchezo wa kirafiki dhidi nya Malawi Jumamosi wiki hii Uwanja wa Uhuru, Jijini.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WACHEZAJI WA TAIFA STARS WAKICHEZA KWA FURAHA 'BWAWANI' Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top