Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, makipa Aishi Manula wa klabu ya Simba (kushoto) na Ramadhan Kabwili (kulia) na mshambuliaji Ibrahim Hajib (katikati) wote wa klabu ya Yanga wakifurahia kwenye bwawa la kuogelea katika hoteli ya Sea Scape, Kunduchi mjini Dar es Salaam ambako Taifa Stars imeweka kambi kujiandaa naa mchezo wa kirafiki dhidi nya Malawi Jumamosi wiki hii Uwanja wa Uhuru, Jijini.
Weir and Caldwell called into Northern Ireland squad
-
Kascie Weir and Nadene Caldwell are called into Northern Ireland's squad
for the opening Nations League matches with Poland and Bosnia-Herzegovina.
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment