Kiungo wa Yanga, Mussa Said (kulia) akimdhibiti Cyprian Benedictor wa Toto Africans wakati wa mazoezi ya timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20, Ngorongoro Heroes leo Uwanja wa Karume mjini Dar es Salaam
Mshambuliaji Muhsin Malima wa Mtibwa Sugar akimpita Ally Ng'anzi wa Mbao FC katika mazoezi ya Ngorongoro
Ibrahim Abdallah wa Miembeni City (kulia) akipambana na Vitalis Mayanga wa African Lyon
Mussa Said wa Yanga akipambana katikati ya Kevin Nashon wa JKT Ruvu na Shaaban Zubeiry Ada wa Lipuli
Kiungo Rajab Odasi wa Azam akimfunga kipa Abdultwalib Mshedi wa Mtibwa
Ibrahim Abdallah wa Miembeni City (juu kuia) akipiga kicha mbele Dickson Job wa Mtibwa Sugar
Iloski, Vassilev and Pierre each score a goal, Union snap 8-game winless
skid, beat Red Bulls 3-1
-
Milan Iloski opened the scoring in the ninth minute, Indiana Vassilev and
Neil Pierre each added a goal, and the Philadelphia Union beat the New York
Red B...
4 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment