Kiungo wa Yanga, Mussa Said (kulia) akimdhibiti Cyprian Benedictor wa Toto Africans wakati wa mazoezi ya timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20, Ngorongoro Heroes leo Uwanja wa Karume mjini Dar es Salaam
Mshambuliaji Muhsin Malima wa Mtibwa Sugar akimpita Ally Ng'anzi wa Mbao FC katika mazoezi ya Ngorongoro
Ibrahim Abdallah wa Miembeni City (kulia) akipambana na Vitalis Mayanga wa African Lyon
Mussa Said wa Yanga akipambana katikati ya Kevin Nashon wa JKT Ruvu na Shaaban Zubeiry Ada wa Lipuli
Kiungo Rajab Odasi wa Azam akimfunga kipa Abdultwalib Mshedi wa Mtibwa
Ibrahim Abdallah wa Miembeni City (juu kuia) akipiga kicha mbele Dickson Job wa Mtibwa Sugar
Revealed: How Tiger Woods is supporting Vanessa Trump through cancer battle
from rehab in Europe
-
Woods, 50, is in Switzerland undergoing what is believed to be a 90-day
treatment plan after his arrest in late March near his home in Jupiter,
Florida for...
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment