Meneja Mauzo Kanda ya Dar es Salaam Airtel Tanzania Brighton Majwala (kulia) akimkabidhi vifaa vya mchezo Katibu Mkuu wa Chama cha Soka wilaya ya Kinondoni (KIFA) Funia A. Funia (kushoto) kwa ajili ya mashindano ya Chipukizi Cup yanayotarajiwa kuanza Oktoba 8 kwenye viwanja vinne vya wilaya hiyo. Wa pili kushoto ni Katibu wa mashindano ya vijana wa wilaya hiyo Abdallah Singano na Meneja Miradi Airtel Tanzania Jane Matinde.
Democrats slam Social Security boss over 'politicized' email praising Trump
-
Senate Democrats condemn Social Security Administration commissioner for
“politicized” email to benefits recipients
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment