Meneja Mauzo Kanda ya Dar es Salaam Airtel Tanzania Brighton Majwala (kulia) akimkabidhi vifaa vya mchezo Katibu Mkuu wa Chama cha Soka wilaya ya Kinondoni (KIFA) Funia A. Funia (kushoto) kwa ajili ya mashindano ya Chipukizi Cup yanayotarajiwa kuanza Oktoba 8 kwenye viwanja vinne vya wilaya hiyo. Wa pili kushoto ni Katibu wa mashindano ya vijana wa wilaya hiyo Abdallah Singano na Meneja Miradi Airtel Tanzania Jane Matinde.
Bears pin hopes on Williams - meet NFL's next superstar
-
Caleb Williams is carrying the hopes of the Chicago Bears on his shoulders,
but why are fans so excited? Meet the NFL's next big star.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment