Laurent Depoitre akipiga mpira kuifungia bao la pili Huddersfield dakika ya 33 baada ya kumzunguka kipa wa Manchester United, David De Gea Uwanja wa The John Smith, Huddersfield, West Yorkshire katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Huddersfield imeshinda 2-1, bao la kwanza likifungwa na Aaron Mooy dakika ya 28, wakati la Man United limefungwa na Marcus Rashford dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
All-round Curran leads MI London to dominant win
-
Sam Curran takes two wickets and hits an unbeaten half-century as MI London
beat Sunrisers Leeds in the men's Hundred opener.
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment