Laurent Depoitre akipiga mpira kuifungia bao la pili Huddersfield dakika ya 33 baada ya kumzunguka kipa wa Manchester United, David De Gea Uwanja wa The John Smith, Huddersfield, West Yorkshire katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Huddersfield imeshinda 2-1, bao la kwanza likifungwa na Aaron Mooy dakika ya 28, wakati la Man United limefungwa na Marcus Rashford dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Vote for April's Player of the Month
-
It's that time again - make your selection from three Reds for our monthly
star-man award.
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment