Gabriel Jesus akishangilia kwa staili yake maarufu baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 13 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Napoli ya Italia usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Etihad. Raheem Sterling alianza kuwafungia Man City dakika ya nane wakati Amadou Diawara aliifungia Napoli dakika ya 71 baada ya Fernandinho kumuangusha Faouzi Ghoulam kwenye boksi. Ederson aliokoa penalti ya Dries Mertens baada ya Kyle Walker kumshika Raul Albiol kwenye boksi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
IN CASE YOU MISSED IT: Julie Andrews makes rare public appearance to raise
awareness for Parkinson's disease
-
The Sound of Music actress recorded a video to kick off the World Parkinson
Congress in Phoenix, Arizona on 24 May. Addressing attendees, the British
actre...
22 seconds ago



.png)
0 comments:
Post a Comment