Majengo pacha ya klabu ya Simba yaliyopo Mtaa wa Msimbazi mjini Dar es Salaam yanavyoonekana kwa mbele. Jengo la kushoto lipo tangu miaka ya 1970, wakati kulia ni jengo dogo lililojengwa takriban miaka 13 iliyopita
Upande wa pili jengo dogo linavyoonekana vizuri, ambalo ndani yake ndio kuna ofisi za viongozi na maktaba ya klabu. Majengo yote yana wapangaji walioweka biashara tofauti, ikiwemo maduka ya bidhaa mablimbali, mgahawa na ofisi za michezo ya kubahatisha
Majengo ya Simba yapo barabarani kabisa Mtaa wa Msimbazi
Jengo kuu la Simba linavyoonekana kwa juu
Limeezekwa na bati tu kama kibanda
Police neutralize 3 suspected kidnappers, rescue abducted victim in Oyo
-
From Taiwo Oluwadare, Ibadan The Oyo State Police Command has announced the
neutralization of three suspected kidnappers and the rescue of an abducted
vi...
8 hours ago


.png)
0 comments:
Post a Comment