Majengo pacha ya klabu ya Simba yaliyopo Mtaa wa Msimbazi mjini Dar es Salaam yanavyoonekana kwa mbele. Jengo la kushoto lipo tangu miaka ya 1970, wakati kulia ni jengo dogo lililojengwa takriban miaka 13 iliyopita
Upande wa pili jengo dogo linavyoonekana vizuri, ambalo ndani yake ndio kuna ofisi za viongozi na maktaba ya klabu. Majengo yote yana wapangaji walioweka biashara tofauti, ikiwemo maduka ya bidhaa mablimbali, mgahawa na ofisi za michezo ya kubahatisha
Majengo ya Simba yapo barabarani kabisa Mtaa wa Msimbazi
Jengo kuu la Simba linavyoonekana kwa juu
Limeezekwa na bati tu kama kibanda
Chaos as protesters try to stop Iranian soccer stars from flying home early
from Australia - as one star is DRAGGED onto bus
-
The scenes unfolded outside the team's hotel on the Gold Coast after five
players made a daring escape to secure freedom in Australia.
37 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment