• HABARI MPYA

    Friday, October 20, 2017

    MAJENGO PACHA YA SIMBA NA PILIKA ZAKE MTAA WA MSIMBAZI

    Majengo pacha ya klabu ya Simba yaliyopo Mtaa wa Msimbazi mjini Dar es Salaam yanavyoonekana kwa mbele. Jengo la kushoto lipo tangu miaka ya 1970, wakati kulia ni jengo dogo lililojengwa takriban miaka 13 iliyopita 
    Upande wa pili jengo dogo linavyoonekana vizuri, ambalo ndani yake ndio kuna ofisi za viongozi na maktaba ya klabu. Majengo yote yana wapangaji walioweka biashara tofauti, ikiwemo maduka ya bidhaa mablimbali, mgahawa na ofisi za michezo ya kubahatisha   
    Majengo ya Simba yapo barabarani kabisa Mtaa wa Msimbazi 
    Jengo kuu la Simba linavyoonekana kwa juu 
    Limeezekwa na bati tu kama kibanda
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAJENGO PACHA YA SIMBA NA PILIKA ZAKE MTAA WA MSIMBAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top