Majengo pacha ya klabu ya Simba yaliyopo Mtaa wa Msimbazi mjini Dar es Salaam yanavyoonekana kwa mbele. Jengo la kushoto lipo tangu miaka ya 1970, wakati kulia ni jengo dogo lililojengwa takriban miaka 13 iliyopita
Upande wa pili jengo dogo linavyoonekana vizuri, ambalo ndani yake ndio kuna ofisi za viongozi na maktaba ya klabu. Majengo yote yana wapangaji walioweka biashara tofauti, ikiwemo maduka ya bidhaa mablimbali, mgahawa na ofisi za michezo ya kubahatisha
Majengo ya Simba yapo barabarani kabisa Mtaa wa Msimbazi
Jengo kuu la Simba linavyoonekana kwa juu
Limeezekwa na bati tu kama kibanda
Rudy Gobert Reportedly Questionable for Wolves-Nuggets Game 2 After Birth
of Child
-
Minnesota Timberwolves starting center Rudy Gobert is questionable for Game
2 of the team's Western Conference Semifinals matchup against the Denver
Nuggets…
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment