Mchezaji wa timu ya taifa ya wanawake chini ya umri wa miaka 20, Rukia Anaf (kushoto) akimpita mchezaji wa Nigeria, Florence Ijamilusi jana katika mchezo wa marudiano wa kufuzu Kombe la Dunia mwakani nchini Ufaransa. Nigeria 'Falconets' ilishinda 6-0 na kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 9-0 baada ya kushinda 6-0 kwenye mchezo wa kwanza wiki iliyopita kwao
Mary Imo wa Falconets (kushoto) akimfunga kipa wa Tanzanite, Wema Rashid (kulia) jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam
Amoo Bashrat wa Nigeria akimpita beki wa Tanzania, Hadija Mohamed
Shamim Hamisi wa Tanzania akimiliki mpira mbele ya Florence Ijamilusi wa Nigeria
Kikosi cha Nigeria jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam
Kikosi cha Tanzanite jana Uwanja wa Azam Complex kabla ya mchezo
Wildfires destroy olive crop at Sicilian farm
-
STORY: :: Godrano, Italy / July 17, 2026
:: A wildfire destroys olive groves at a Sicilian farm, wiping out this
year's crop and compromising future harv...
4 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment