Mchezaji wa timu ya taifa ya wanawake chini ya umri wa miaka 20, Rukia Anaf (kushoto) akimpita mchezaji wa Nigeria, Florence Ijamilusi jana katika mchezo wa marudiano wa kufuzu Kombe la Dunia mwakani nchini Ufaransa. Nigeria 'Falconets' ilishinda 6-0 na kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 9-0 baada ya kushinda 6-0 kwenye mchezo wa kwanza wiki iliyopita kwao
Mary Imo wa Falconets (kushoto) akimfunga kipa wa Tanzanite, Wema Rashid (kulia) jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam
Amoo Bashrat wa Nigeria akimpita beki wa Tanzania, Hadija Mohamed
Shamim Hamisi wa Tanzania akimiliki mpira mbele ya Florence Ijamilusi wa Nigeria
Kikosi cha Nigeria jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam
Kikosi cha Tanzanite jana Uwanja wa Azam Complex kabla ya mchezo
Chelsea star is riddled with nerves after being axed by Liam Rosenior,
writes KIERAN GILL - the Blues boss must now pick him back up again after
anxious Wrexham performance
-
KIERAN GILL: Liam Rosenior spent much of his pre-match press conference
talking up the importance of this FA Cup tie. Important for Chelsea to win
their fi...
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment