Mshambuliaji wa kimataifa wa Argentina, Lionel Messi akinyoosha vidole juu katika staili yake maarufu ya kushangilia baada ya kufunga Barceloma mabao mawili dakika za 70 na 77 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Las Palmas kwenye mchezo wa La Liga jana Uwanja wa Camp Nou PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Real Madrid's Tchouameni on Man Utd radar
-
Real Madrid's Aurelien Tchouameni is one of the players Man Utd are looking
at to fill their priority central midfield position this summer.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment