Philippe Coutinho wa Liverpool (kushoto) akipiga shuti mbele ya mchezaji wa Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa St James' Park timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Coutinho alianza kuifungia Liverpool dakika ya 29, kabla ya Joselu kuisawazishia Newcastle dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Giants' John Mara Expects to Retain Brian Daboll, Joe Schoen for 2025 NFL
Season
-
New York Giants owner John Mara emphatically stated Wednesday that the team
will not be moving on from general manager Joe Schoen and head coach Brian
Daboll…
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment