Philippe Coutinho wa Liverpool (kushoto) akipiga shuti mbele ya mchezaji wa Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa St James' Park timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Coutinho alianza kuifungia Liverpool dakika ya 29, kabla ya Joselu kuisawazishia Newcastle dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United's 'mini David Beckham and Harry Maguire' open up on handling
social media hype, chasing down a historic Treble - and reveal the club's
two 'standout' first-team mentors
-
INTERVIEW BY NATHAN SALT: Both are making plenty of noise behind the scenes
at United with their performances as Michael Carrick and his staff continue
to ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment