Philippe Coutinho wa Liverpool (kushoto) akipiga shuti mbele ya mchezaji wa Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa St James' Park timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Coutinho alianza kuifungia Liverpool dakika ya 29, kabla ya Joselu kuisawazishia Newcastle dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ex-Socceroos captain Paul Wade says he has probable CTE, urges no heading
for junior players
-
PERTH, Australia (AP) — Former Australia soccer captain Paul Wade says he
has been diagnosed with probable chronic traumatic encephalopathy (CTE) and
has r...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment