Chipukizi wa Azam FC, Peter Paul akimruka mchezaji wa Singida United katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma timu hizo zikitoka sare ya 1-1.
Peter Paul (kulia) wa Azam FC akitafuta maarifa ya kumpita mchezaji wa Singida United
Mshambuliaji wa Azam FC, Mghana Yahya Mohammed akimiliki mpira mbele ya mchezaji wa Singida United
Beki wa Azam FC, Mzimbabwe, Bruce Kangwa akimpita kiungo wa Singida United, Deus Kaseke
Mshambuliaji wa Azam FC, Mbaraka Yussuf akipambana katikati ya wachezaji wa Singida
Kikosi cha Azam FC kwenye mchezo wa jana Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment