Kiungo wa Yanga, Mzambia Justin Zulu akiokoa kwa tumbo jana moja ya hatari zilizoelekzwa langoni mwao katika mchezo wa marudiano hatua ya 32 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika Uwanja wa Taifa wa Mashujaa, Lusaka
Kipa wa Yanga, Deo Munishi 'Dida' jana alifanya kazi vizuri
Winga Simon Msuva pamoja na kushambulia, alikuwa akisaidia na ulinzi pia
Kiungo Haruna Niyonzima akitafuta maarifa ya kumpokonya mpira mchezaji wa Zanaco
Augustine Mulenga wa Zanaco akimfunga tela Justin Zulu wa Yanga
Mshambuliaji Mghana wa Zanaco, Attram Kwame akiingilia ukuta wa wachezaji wa Yanga
Liverpool documentary showing Jurgen Klopp's final months as manager still
yet to be picked up by a streaming service as hopes of a fairytale ending
disappear
-
Talks are still taking place over who will show the eight-episode series,
which is due to be released in August when the new Premier League season
begins.
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment