Kiungo wa Mbeya City, Mrisho Ngassa (kulia) akimtoka beki wa Simba, Abdi Banda katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2
Beki wa Simba, Hamad Juma (kulia) akimdhibiti Bryson Raphael wa Mbeya City
Beki wa Mbeya City, Haruna Shamte akimtoka kiungo Said Ndemla jana
Refa Jacob Adongo akizungumza na wachezaji wa timu zote mbili jana
Wachezaji wa Mbeya City wakipamiana katika harakati za kuokoa mpira wa juu
Kiungo wa Simba, Mwinyi Kazimoto (katikati) akizungumza na wana Mwanza wenzake, Haruna Shamte (kushoto) na Mrisho Ngassa (kulia)
I’m not just here to sing; I’m here to create experience –Ortez
-
It’s the dawn of a new era, as electrifying singer/songwriter, Olorunfemi
Otedola Damilola aka Ortez, is crowned the new face of the industry. With a
voi...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment