Kiungo wa Mbeya City, Mrisho Ngassa (kulia) akimtoka beki wa Simba, Abdi Banda katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2
Beki wa Simba, Hamad Juma (kulia) akimdhibiti Bryson Raphael wa Mbeya City
Beki wa Mbeya City, Haruna Shamte akimtoka kiungo Said Ndemla jana
Refa Jacob Adongo akizungumza na wachezaji wa timu zote mbili jana
Wachezaji wa Mbeya City wakipamiana katika harakati za kuokoa mpira wa juu
Kiungo wa Simba, Mwinyi Kazimoto (katikati) akizungumza na wana Mwanza wenzake, Haruna Shamte (kushoto) na Mrisho Ngassa (kulia)
Aaron Rodgers' post-NFL plans revealed: The REAL reason he'll refuse to be
in the public eye... as insiders leak his private 'promise' to mysterious
wife Brittani
-
This coming NFL season will, finally, be Aaron Rodgers' last. After that,
the veteran quarterback will be bidding good bye to football - and the
public eye...
19 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment