Mshambuliaji wa Manchester City, Wilfried Bony akienda hewani kuifungia kwa kichwa timu yake bao la kwanza katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea Uwanja wa Etihad jioni ya leo. Bao lingine la City lilifungwa na Kelechi Iheanacho aliyejifunga baada ya kubabatizwa na mpira uliopigwa na Yaya Toure, huku bao la Swansea likifungwa na Bafetimbi Gomis PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Syrian government confirms detention of missing German journalist
-
The Syrian government confirmed Thursday that a German journalist who went
missing months ago is detained in Syria. Eva Maria Michelmann, 36, was last
seen...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment