Mshambuliaji wa Manchester City, Wilfried Bony akienda hewani kuifungia kwa kichwa timu yake bao la kwanza katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea Uwanja wa Etihad jioni ya leo. Bao lingine la City lilifungwa na Kelechi Iheanacho aliyejifunga baada ya kubabatizwa na mpira uliopigwa na Yaya Toure, huku bao la Swansea likifungwa na Bafetimbi Gomis PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fearless Madjo, 17, ends eight-month wait with dream Villa debut
-
Teenage striker Brian Madjo scores on his Aston Villa debut in Uefa Super
Cup defeat by Paris St-Germain to end eight-month wait for a chance to play
in co...
5 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment