Mshambuliaji wa Manchester City, Wilfried Bony akienda hewani kuifungia kwa kichwa timu yake bao la kwanza katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea Uwanja wa Etihad jioni ya leo. Bao lingine la City lilifungwa na Kelechi Iheanacho aliyejifunga baada ya kubabatizwa na mpira uliopigwa na Yaya Toure, huku bao la Swansea likifungwa na Bafetimbi Gomis PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Disgraced A-League star Ulises Davila to be sentenced for corrupt conduct
in 2026 - as Football Australia issues its own bans over spot-fixing from
three other tarnished players
-
Disgraced A-League star Ulises Davila will be sentenced for corrupt conduct
next year after bail was continued in Sydney's Downing Centre on December
19.
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment