Mshambuliaji wa Manchester City, Wilfried Bony akienda hewani kuifungia kwa kichwa timu yake bao la kwanza katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea Uwanja wa Etihad jioni ya leo. Bao lingine la City lilifungwa na Kelechi Iheanacho aliyejifunga baada ya kubabatizwa na mpira uliopigwa na Yaya Toure, huku bao la Swansea likifungwa na Bafetimbi Gomis PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Furious Channel Nine footy reporter Danny Weidler accuses NRL great Braith
Anasta of threatening to BASH him in remarks caught on video
-
Nine and Sydney Morning Herald journalist Danny Weidler has launched a
stunning broadside at former Bulldogs star turned Fox Sports TV host Braith
Anasta.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment