Mshambuliaji wa Manchester City, Wilfried Bony akienda hewani kuifungia kwa kichwa timu yake bao la kwanza katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea Uwanja wa Etihad jioni ya leo. Bao lingine la City lilifungwa na Kelechi Iheanacho aliyejifunga baada ya kubabatizwa na mpira uliopigwa na Yaya Toure, huku bao la Swansea likifungwa na Bafetimbi Gomis PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ronaldinho returns! Brazil icon, 46, signs for third-tier Italian club 11
YEARS after retirement - but won't be lacing up his boots as unique role
with the team is revealed
-
Ronaldinho has made a stunning return to football by signing for third-tier
Italian club Ravenna - but the 46-year-old Brazil icon will not be lacing
up hi...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment