Mshambuliaji wa Manchester City, Wilfried Bony akienda hewani kuifungia kwa kichwa timu yake bao la kwanza katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea Uwanja wa Etihad jioni ya leo. Bao lingine la City lilifungwa na Kelechi Iheanacho aliyejifunga baada ya kubabatizwa na mpira uliopigwa na Yaya Toure, huku bao la Swansea likifungwa na Bafetimbi Gomis PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Chelsea star faces investigation in Belgium after becoming an
ambassador for gambling company blacklisted in his homeland
-
He is global ambassador for Stake and shared an introductory video of their
partnership with his 27 million followers on Instagram.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment