TIMU ya El Merreikh ya Sudan imeitoa Kabuscorp ya Angola katika hatua ya 32 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika licha ya kufungwa 2-1 mjini Luanda jana.
Matokeo hayo, yanaifanya Merreikh itinge hatua ya 16 Bora kwa ushindi wa jumla wa mabao 3-2, baada ya awali kushinda 2-0 nyumbani.
Ikumbukwe, Merreikh ndiyo waliowatoa wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano hiyo, Azam FC kwa jumla ya mabao 3-2 pia.
Mechi ya kwanza Dar es Salaam Azam FC walishinda 2-0 na marudiano Sudan, Merreikh wakashinda 3-0.
Matokeo hayo, yanaifanya Merreikh itinge hatua ya 16 Bora kwa ushindi wa jumla wa mabao 3-2, baada ya awali kushinda 2-0 nyumbani.
Ikumbukwe, Merreikh ndiyo waliowatoa wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano hiyo, Azam FC kwa jumla ya mabao 3-2 pia.
Mechi ya kwanza Dar es Salaam Azam FC walishinda 2-0 na marudiano Sudan, Merreikh wakashinda 3-0.
![]() |
| Kikosi cha El Merreikh kilichoitoa Azam FC Raundi ya Kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika, kimeendelea kuchanja mbuga baada ya kutinga hatua ya 16 Bora michuano hiyo |



.png)
0 comments:
Post a Comment