• HABARI MPYA

    Sunday, April 05, 2015

    DIEGO COSTA NJE WIKI MBILI, BONGE LA PIGO CHELSEA

    Chelsea striker Diego Costa limped off with a hamstring injury shortly after coming on at the interval
    Mshambuliaji wa Chelsea, Diego Costa akitoka nje baada ya kuumia nyama za paja dakika ya 10 tangu aingie uwanjani akitokea benchi jana Chelsea ikishinda 2-1 dhidi ya Stoke City Uwanja wa Stamford Bridge, London.
    Blues striker Costa looks despondent as he sits on the turf following another injury to his hamstring 
    Haijulikani The Blues itamkoa kwa muda gani haswa Costa, ingawa taarifa za awali zinasema si chini ya wiki mbili
    Costa looks in pain after pulling up at Stamford Bridge during Chelsea's 2-1 win over Stoke City
    Kuumia kwa Costa ni pigo kwa Chelsea katika hatua hizi za mwishoni za msimu, The Blues wakikabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa Manchester City, Manchester United na Arsenal katika mbio za ubingwa.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DIEGO COSTA NJE WIKI MBILI, BONGE LA PIGO CHELSEA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top