• HABARI MPYA

    Thursday, February 23, 2023

    SINGIDA BIG STARS YATOZWA FAINI MECHI NA SIMBA SC


    KLABU ya Singida Big Stars imetozwa faini ya Sh. Milioni 1 kwa kosa la kukataa kuingia kwenye chumba mahsusi cha kubadilishia nguo katika mechi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Simba SC Jijini Dar es Salaam.






    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SINGIDA BIG STARS YATOZWA FAINI MECHI NA SIMBA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top