Kwa ushindi huo, Coastal Union inafikisha pointi 22 na kusogea nafasi ya 13, wakati Mbeya City inabaki na pointi zake 24 nafasi ya 10 baada ya wote kucheza mechi 23.
COASTAL UNION YAICHAPA MBEYA CITY 1-0 MKWAKWANI
Kwa ushindi huo, Coastal Union inafikisha pointi 22 na kusogea nafasi ya 13, wakati Mbeya City inabaki na pointi zake 24 nafasi ya 10 baada ya wote kucheza mechi 23.
0 comments:
Post a Comment