WENYEJI, Polisi Tanzania wamelazimishwa sare ya bila mabao na Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Chuo cha Ushirika mjini Moshi mkoani Kilimanjaro.
Kwa matokeo hayo, Polisi Tanzania wanafikisha pointi16, ingawa wanaendelea kushika mkia kwenye ligi ya timu 16, wakati Kagera Sugar inafikisha pointi 26 na kusogea nafasi ya nane.
0 comments:
Post a Comment