• HABARI MPYA

    Friday, February 24, 2023

    MAN UNITED NA BETIS, ARSENAL NA SPORTING 16 BORA EUROPA LEAGUE


    TIMU ya Manchester United itakutana na Real Betis ya Hispania katika Hatua ya 16 Bora ya UEFA Europa League, wakati Arsenal itamenyana na Sporting Lisbon ya Ureno.

    RATIBA KAMILI 16 BORA EUROPA LEAGU

    Union Berlin vs Union Saint-Gilloise 

    Sevilla vs Fenerbahce 

    Juventus vs Freiburg

    Bayer Leverkusen vs Ferencvaros 

    Sporting Lisbon vs Arsenal 

    Manchester United vs Real Betis 

    Roma vs Real Sociedad 

    Shakhtar Donetsk vs Feyenoord 

    Mechi kwanza zitachezwa Alhamisi ya Machi 9, wakati za marudiano zitafuatia Machi16, mwaka huu.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN UNITED NA BETIS, ARSENAL NA SPORTING 16 BORA EUROPA LEAGUE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top