• HABARI MPYA

    Monday, February 06, 2023

    NTIBANZOKIZA AKABIDHIWA TUZO ZA FEDHA ZAKE SIMBA SC


    KIUNGO Mrundi, Saido Ntibanzokiza leo amekabidhiwa Tuzo yake ya Mchezaji Bora wa Mashabiki wa Simba mwezi Januari, mwaka huu sambamba na mfano wa Hundi ya Sh. Milioni 2 kutoka kwa wadhamini, Emirate Aluminium Profile Limited.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NTIBANZOKIZA AKABIDHIWA TUZO ZA FEDHA ZAKE SIMBA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top