WENYEJI, Geita Gold wameibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Nyankumbu mjini Geita. Mabao ya Geita Gold yamefungwa na Bashima Sayte dakika ya tano, Geoffrey Manyasi kwa penalti dakika ya 40 na Elias Maguri dakika ya 78. Kwa upande wao Ruvu Shooting mabao yao yamefungwa na Abrahman Mussa dakika ya 45 na Mgandila Shaaban dakika ya 63. Kwa ushindi huo, Geita Gold inafikisha pointi 34 nafasi ya tano, wakati Ruvu Shooting inabaki na pointi zake 17 nafasi ya 15 baada ya wote kucheza mechi 23.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment