Mabao ya Geita Gold yamefungwa na Bashima Sayte dakika ya tano, Geoffrey Manyasi kwa penalti dakika ya 40 na Elias Maguri dakika ya 78.
Kwa upande wao Ruvu Shooting mabao yao yamefungwa na Abrahman Mussa dakika ya 45 na Mgandila Shaaban dakika ya 63.
Kwa ushindi huo, Geita Gold inafikisha pointi 34 nafasi ya tano, wakati Ruvu Shooting inabaki na pointi zake 17 nafasi ya 15 baada ya wote kucheza mechi 23.
0 comments:
Post a Comment