Kwa matokeo hayo, Kagera Sugar ya kocha Mecky Mexime inafikisha pointi 29 na kusogea nafasi ya sita ikiizidi tu wastani wa mabao Namungo FC baada ya wote kucheza mechi 23.
KAGERA SUGAR YAICHAPA NAMUNGO FC 1-0 KAITABA
Kwa matokeo hayo, Kagera Sugar ya kocha Mecky Mexime inafikisha pointi 29 na kusogea nafasi ya sita ikiizidi tu wastani wa mabao Namungo FC baada ya wote kucheza mechi 23.
0 comments:
Post a Comment