• HABARI MPYA

    Saturday, February 18, 2023

    KAGERA SUGAR YAICHAPA NAMUNGO FC 1-0 KAITABA


    BAO pekee la chipukizi Erick Mwijage dakika ya 79 limeipa Kagera Sugar ushindi wa 1-0 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba.
    Kwa matokeo hayo, Kagera Sugar ya kocha Mecky Mexime inafikisha pointi 29 na kusogea nafasi ya sita ikiizidi tu wastani wa mabao Namungo FC baada ya wote kucheza mechi 23.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KAGERA SUGAR YAICHAPA NAMUNGO FC 1-0 KAITABA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top