CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) leo kimepata uongozi mpya katika Uchaguzi uliofanyika ukumbi wa mikutano wa Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Nafasi ya Mwenyekiti imekwenda kwa Amir Mhando, Katibu Mkuu Alfred Lucas, Katibu Msaidizi Imani Makongoro, Mweka Hazina Dina Ismail na Wajumbe wa Kamati ya Utendaji ni Timzoo Kalugira na Nasongelya Kilinga.
0 comments:
Post a Comment