Azam FC walitanguli na bao la dakika ya kwanza tu la mshambuliaji wake wa Kimataifa wa Zimbabwe. Prince Dube Mpumelelo, kabla ya beki Mzanzibari Abdallah Kheri ‘Sebo’ kujifunga dakika ya 90 na ushei kuipa bao la kusawazisha Simba.
Kwa matokeo hayo, Simba SC inafikisha pointi 54 na kuendelea kushika nafasi ya pili ikiizidi pointi 10 Azam FC baada ya wote kucheza mechi 23, wakiwa nyuma ya Mabingwa watetezi, Yanga SC wenye pointi 59 za mechi 22.
0 comments:
Post a Comment