• HABARI MPYA

    Friday, February 17, 2023

    CAF WAWASILI KWA UKAGUZI WA SUPER LEAGUE


    MAOFISA kutoka Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wamewasili nchini kwa lengo la kufanya ukaguzi wa miundo mbinu ya uwanja, hoteli na hospitali ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya CAF Super League, michuano ambayo Tanzania itawakilishwa na klabu ya Simba.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CAF WAWASILI KWA UKAGUZI WA SUPER LEAGUE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top