YANGA SC WATUA MBEYA KWA NDEGE KUJIANDAA KUIVAA PRISONS IJUMAA KOMBE LA TFF SUMBAWANGA
KIKOSI cha Yanga kimewasili Jijini Mbeya leo kwa maandalizi ya mchezo wake wa hatua ya 16 Bora ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) dhidi ya wenyeji, Tanzania Prisons Ijumaa Uwanja wa Nelson Mandela mjini Sumbawanga mkoani Rukwa.
Arsenal set to make improved Raphinha bid
-
Arsenal are expected to make an improved bid for Leeds
United forward Raphinha. Arsenal's opening bid for Raphinha was rejected as
it fell below Leeds' val...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni